Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:3 - Swahili Revised Union Version

Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini tambiko hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini tambiko hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini tambiko hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini zile dhabihu zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini zile dhabihu zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kila mwaka; kwa damu ya ile sadaka ya dhambi ya kufanya upatanisho, mara moja kila mwaka ataifanyia upatanisho, katika vizazi vyenu vyote; ni takatifu sana kwa BWANA.


Na amri hii itakuwa amri ya milele kwenu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli kwa sababu ya dhambi zao zote, mara moja kila mwaka. Naye akafanya vile vile kama BWANA alivyomwamuru Musa.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila.


Lakini katika hema hiyo ya pili kuhani mkuu huingia peke yake, mara moja kila mwaka; wala si pasipo damu, atoayo kwa ajili ya nafsi yake na kwa dhambi walizozitenda hao watu bila kujua.