Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Tito 3:4 - Swahili Revised Union Version

Lakini wema wake Mungu Mwokozi wetu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wakati wema na upendo wa Mungu, Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wakati wema na upendo wa Mungu, Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wakati wema na upendo wa Mungu, Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wema wake Mungu Mwokozi wetu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Tito 3:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;


Au waudharau wingi wa wema wake na ustahimili wake na uvumilivu wake, usijue ya kuwa wema wa Mungu wakuvuta upate kutubu?


Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Kristo Yesu, tarajio letu;


Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;


kwa maana twajitaabisha na kujitahidi kwa kusudi hili, kwa sababu tunamtumaini Mungu aliye hai, aliye Mwokozi wa watu wote, hasa wa wale waaminio.


na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutoharibika, kwa ile Injili;


akalifunua neno lake kwa majira yake katika ule ujumbe niliokabidhiwa kwa amri ya Mwokozi wetu Mungu;


kama ni hivyo, ingalimpasa kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya nafsi yake.


ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.