Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ruthu 2:17 - Swahili Revised Union Version

Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi Ruthu aliendelea kuokota masuke mpaka jioni; na baada ya kupura hiyo shayiri alipata debe moja na zaidi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Ruthu akaokota masazo shambani hata jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa efa moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Ruthu akaokota masazo shambani hata jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa efa moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Ruthu akaokota mabaki shambani hadi jioni; kisha akazipura zile nafaka alizoziokota, zikawa yapata efa moja ya shayiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ruthu 2:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hiyo omeri ni sehemu kumi ya efa.


Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.


Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze.


Akajitwika, akaenda zake mjini. Akamwonesha mkwewe zile alizoziokota; akavitoa vile vyakula alivyovisaza alipokwisha kushiba, akampa.