Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ruthu 1:3 - Swahili Revised Union Version

Akafa Elimeleki, mumewe Naomi; na yule mwanamke akasalia na wanawe wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Elimeleki, mumewe Naomi, alifariki na Naomi akaachwa na wanawe wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Elimeleki, mumewe Naomi, alifariki na Naomi akaachwa na wanawe wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Elimeleki, mumewe Naomi, alifariki na Naomi akaachwa na wanawe wawili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Elimeleki mumewe Naomi akafa, hivyo Naomi akabaki na wanawe wawili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Elimeleki mumewe Naomi akafa, hivyo Naomi akabaki na wanawe wawili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafa Elimeleki, mumewe Naomi; na yule mwanamke akasalia na wanawe wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ruthu 1:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha BWANA; na aliyemdai amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya Naye humpiga kila mwana amkubaliye.


Na jina la mtu huyo aliitwa Elimeleki, na jina la mkewe Naomi, na majina ya wanawe wawili Maloni na Kilioni, Waefrata wa Bethlehemu ya Yuda. Wakafika nchi ya Moabu, wakakaa huko.


Nao wakaoa wanawake wa Kimoabu, jina la mmoja aliitwa Orpa, na jina la wa pili Ruthu. Baada ya kukakaa huko miaka kumi hivi,