Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Obadia 1:6 - Swahili Revised Union Version

Jinsi watu wa Esau wanavyotafutwatafutwa! Jinsi hazina zake zilizofichwa zinavyoulizwaulizwa!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi wazawa wa Esau, mali zenu zimetekwa; hazina zenu zote zimeporwa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi wazawa wa Esau, mali zenu zimetekwa; hazina zenu zote zimeporwa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi wazawa wa Esau, mali zenu zimetekwa; hazina zenu zote zimeporwa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa, jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa, jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jinsi watu wa Esau wanavyotafutwatafutwa! Jinsi hazina zake zilizofichwa zinavyoulizwaulizwa!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Obadia 1:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, umenichunguza na kunijua.


Na watoto wao wachanga watavunjwavunjwa mbele ya macho yao, nyumba zao zitatekwa nyara, na wake zao watanajisiwa.


nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.


Lakini nimemwacha akiwa hana kitu Esau, nimepafunua mahali pake pa siri, wala hataweza kujificha; kizazi chake kimeangamizwa, na ndugu zake, na jirani zake, naye mwenyewe hayuko.


Upanga uko juu ya farasi wao, na juu ya magari yao ya vita; na juu ya watu wote waliochanganyika ndani yake, nao watakuwa kama wanawake; upanga u juu ya hazina zake, nazo zitaibwa.


yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.