Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:57 - Swahili Revised Union Version

Wazawa wa watumishi wa Sulemani; Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazao wa watumishi wa Sulemani: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazao wa watumishi wa Sulemani: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa watumishi wa Sulemani; Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:57
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa watumishi wa Sulemani; wazawa wa Sotai, wazawa wa Soferethi, wazawa wa Peruda;


Basi hawa ndio viongozi wa jimbo waliokaa Yerusalemu; ila mijini mwa Yuda wakakaa kila mtu katika milki yake mijini mwao, yaani, Israeli, makuhani, na Walawi, na Wanethini, wazawa wa watumishi wa Sulemani.


wana wa Nesia, wana wa Hatifa.


wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli;