Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:32 - Swahili Revised Union Version

Watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa miji ya Betheli na Ai: 123;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa miji ya Betheli na Ai: 123;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa miji ya Betheli na Ai: 123;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu (123);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa Betheli, na Ai, mia mbili ishirini na watatu.


Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Betheli na vijiji vyake;


Watu wa Mikmashi, mia moja na ishirini na wawili.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Hakusalia mtu yeyote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli; wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.


Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hadi hapo watakapootea, wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu.