Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:8 - Swahili Revised Union Version

Na baada yake Gabai, Salai, watu mia tisa ishirini na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya huyo walikuwako Gabai na Salai. Jumla yao 928.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya huyo walikuwako Gabai na Salai. Jumla yao 928.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya huyo walikuwako Gabai na Salai. Jumla yao 928.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na wafuasi wake, Gabai na Salai: wanaume mia tisa ishirini na nane (928).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baada yake Gabai, Salai, watu mia tisa ishirini na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

na ndugu zao, kulingana na vizazi vyao; watu mia tisa na hamsini na sita. Watu hao wote ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, kwa kadiri ya mbari za baba zao.


Na wana wa Benyamini ndio hawa; Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya.


Na Yoeli, mwana wa Zikri, alikuwa msimamizi wao; na Yuda, mwana wa Hasenua, alikuwa wa pili juu ya mji.