Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:27 - Swahili Revised Union Version

na Hasar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hasar-shuali na Beer-sheba pamoja na vijiji vilivyoizunguka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hasar-shuali na Beer-sheba pamoja na vijiji vilivyoizunguka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hasar-shuali na Beer-sheba pamoja na vijiji vilivyoizunguka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Hasar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Naye akakiita jina lake Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba, hata leo.


Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;


na katika Yeshua, na Molada, na Beth-peleti;


na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;


Hasar-shuali, Beer-sheba, Biziothia;


Hasar-shuali, Bala, Esemu;


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.