Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:2 - Swahili Revised Union Version

Na hao watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari wakae Yerusalemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari wakae Yerusalemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mji ulikuwa wa nafasi nyingi, tena mkubwa; lakini watu waliomo walikuwa wachache, na nyumba zilikuwa hazijajengwa.


Baraka yake yeye aliyekuwa karibu na kupotea ilinijia; Nikaufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.


Ikiwa viuno vyake havikunibariki, Au kama hakupata moto kwa manyoya ya kondoo wangu;


Watu wako watajitoa kwa hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao umande wa ujana wako.


Uombeeni Yerusalemu amani; Na wafanikiwe wakupendao;


Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za BWANA, Mungu wako.


Moyo wangu unawaelekea makamanda wa Israeli, Waliojitoa nafsi zao kwa hiari yao miongoni mwa watu; Mhimidini BWANA.