Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:15 - Swahili Revised Union Version

Waliingia katika safina alimokuwa Nuhu, wawili wawili, wa kila chenye mwili kilicho na pumzi ya uhai ndani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliingia ndani ya safina pamoja na Noa wiliwawili wa kila aina ya viumbe hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliingia ndani ya safina pamoja na Noa wiliwawili wa kila aina ya viumbe hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliingia ndani ya safina pamoja na Noa wiliwawili wa kila aina ya viumbe hai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai vikaja kwa Nuhu viwili viwili, vikaingia katika safina.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Nuhu viwili viwili, vikaingia katika safina.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waliingia katika safina alimokuwa Nuhu, wawili wawili, wa kila chenye mwili kilicho na pumzi ya uhai ndani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

wao na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi, kwa jinsi yake, na kirukacho kwa jinsi yake, kila ndege wa namna yoyote.


Na walioingia, waliingia wa kike na wa kiume, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.


wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kike na wa kiume, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.


Mbwamwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwanasimba na ng'ombe wanono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza.