Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:10 - Swahili Revised Union Version

Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaanza kuifunika nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaanza kuifunika nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaanza kuifunika nchi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nitaleta gharika ya maji juu ya nchi, niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, kisiwepo chini ya mbingu; kila kilichoko duniani kitakufa.


Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arubaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.


wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kike na wa kiume, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.


Ambao walinyakuliwa kabla ya wakati wao, Msingi wao ulimwagika kama kijito cha maji;


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.