Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:14 - Swahili Revised Union Version

Siku zote za Kenani ni miaka mia tisa na kumi, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kenani alifariki akiwa na umri wa miaka 910.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kenani alifariki akiwa na umri wa miaka 910.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kenani alifariki akiwa na umri wa miaka 910.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kenani aliishi jumla ya miaka mia tisa na kumi, ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Kenani ni miaka mia tisa na kumi, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kenani akaishi baada ya kumzaa Mahalaleli miaka mia nane na arubaini, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.


Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.