Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:10 - Swahili Revised Union Version

Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka mia nane na kumi na tano (815), naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zote za Enoshi ni miaka mia tisa na mitano, akafa.


Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.