Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 47:21 - Swahili Revised Union Version

Akawahamisha hao watu, akawaweka katika miji, tangu upande huu wa Misri hata upande huu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Yusufu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Yusufu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawahamisha hao watu, akawaweka katika miji, tangu upande huu wa Misri hata upande huu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 47:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akakusanya chakula chote cha miaka ile saba katika nchi ya Misri. Akaweka chakula katika miji; chakula cha mashamba yaliyouzunguka kila mji, akakiweka ndani yake.


Basi Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri; maana Wamisri waliuza kila mtu shamba lake; kwa sababu njaa ilikuwa imewazidi sana, nchi ikawa mali yake Farao.


Ila nchi ya makuhani hakuinunua; maana makuhani walikuwa na posho yao kutoka kwa Farao, wakala posho yao waliyopewa na Farao. Kwa hiyo hawakuuza nchi yao.