Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 47:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akawahamisha hao watu, akawaweka katika miji, tangu upande huu wa Misri hata upande huu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 na Yosefu akawafanya watu kuwa watumwa, kutoka pembe moja hadi pembe nyingine ya nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 naye Yusufu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 naye Yusufu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akawahamisha hao watu, akawaweka katika miji, tangu upande huu wa Misri hata upande huu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 47:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akakusanya chakula chote cha miaka ile saba katika nchi ya Misri. Akaweka chakula katika miji; chakula cha mashamba yaliyouzunguka kila mji, akakiweka ndani yake.


Basi Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri; maana Wamisri waliuza kila mtu shamba lake; kwa sababu njaa ilikuwa imewazidi sana, nchi ikawa mali yake Farao.


Ila nchi ya makuhani hakuinunua; maana makuhani walikuwa na posho yao kutoka kwa Farao, wakala posho yao waliyopewa na Farao. Kwa hiyo hawakuuza nchi yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo