Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 47:2 - Swahili Revised Union Version

Akatwaa watu watano miongoni mwa nduguze, akawasimamisha mbele ya Farao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yosefu alikuwa amewachukua ndugu zake watano, akawajulisha kwa Farao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yosefu alikuwa amewachukua ndugu zake watano, akawajulisha kwa Farao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yosefu alikuwa amewachukua ndugu zake watano, akawajulisha kwa Farao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawachagua ndugu zake watano na kuwapeleka mbele ya Farao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akachagua ndugu zake watano na kuwaonyesha kwa Farao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatwaa watu watano miongoni mwa nduguze, akawasimamisha mbele ya Farao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 47:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?


Hata safari ya pili Yusufu akajitambulisha kwa ndugu zake, jamaa ya Yusufu ikawa dhahiri kwa Farao.


tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.


ambaye sisi tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;