Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 41:47 - Swahili Revised Union Version

Ikawa katika miaka ile saba ya shibe, nchi ilitoa mazao mengi kabla ya kuja kwa miaka ya njaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikawa, katika miaka ile saba ya shibe, mashamba ya Misri yakatoa mazao kwa wingi sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikawa, katika miaka ile saba ya shibe, mashamba ya Misri yakatoa mazao kwa wingi sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikawa, katika miaka ile saba ya shibe, mashamba ya Misri yakatoa mazao kwa wingi sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika ile miaka saba ya shibe nchi ilizaa mazao kwa wingi sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika ile miaka saba ya neema nchi ilizaa mazao kwa wingi sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa katika miaka ile saba ya shibe, nchi ilitoa mazao mengi kabla ya kuja kwa miaka ya njaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 41:47
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaka huo Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, naye akapata mavuno mara mia zaidi. BWANA akambariki.


Tazama, miaka saba ya shibe inakuja, katika nchi yote ya Misri.


Naye Yusufu alikuwa mwenye miaka thelathini, aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri. Yusufu akatoka mbele ya uso wa Farao, akasafiri katika nchi yote ya Misri.


Akakusanya chakula chote cha miaka ile saba katika nchi ya Misri. Akaweka chakula katika miji; chakula cha mashamba yaliyouzunguka kila mji, akakiweka ndani yake.


Na uwepo wingi wa nafaka Katika ardhi juu ya milima; Matunda yake na yawayewaye kama ilivyo katika milima ya Lebanoni, Na watu wa mjini wasitawi kama majani ya nchi.