Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 4:13 - Swahili Revised Union Version

Kaini akamwambia BWANA, Adhabu yangu imeniwia kubwa, haichukuliki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kaini akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Adhabu yangu ni kubwa mno; siwezi kuistahimili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kaini akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Adhabu yangu ni kubwa mno; siwezi kuistahimili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kaini akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Adhabu yangu ni kubwa mno; siwezi kuistahimili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kaini akamwambia Mwenyezi Mungu, “Adhabu yangu ni zaidi ya ninavyoweza kustahimili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kaini akamwambia bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kaini akamwambia BWANA, Adhabu yangu imeniwia kubwa, haichukuliki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 4:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani.


Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.


Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;


Yakupasa kupata adhabu ya uasherati wako, na machukizo yako, asema BWANA.


wakamtukana Mungu wa mbingu kwa sababu ya maumivu yao, na kwa sababu ya majipu yao; wala hawakuyatubia matendo yao.


Na mvua ya mawe kubwa sana, ya mawe mazito kama talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu ya wanadamu. Wanadamu wakamtukana Mungu kwa sababu ya lile pigo la mvua ya mawe; kwa maana pigo lake ni kubwa mno.


Wanadamu wakaunguzwa na joto kali, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu.