Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 37:1 - Swahili Revised Union Version

Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 37:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayokaa kama mgeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.


Mimi ni mgeni, ninatembea kwenu; nipeni mahali pa kuzikia kwenu, pawe pangu, nimzike maiti wangu atoke mbele yangu.


Akupe baraka ya Abrahamu, wewe na uzao wako pamoja nawe, upate kuirithi nchi ya kusafiri kwako, Mungu aliyompa Abrahamu.


jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kulingana na makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.


Maana mali yao ilikuwa nyingi wasiweze kukaa pamoja, wala nchi ya ugeni haikuweza kuwapokea kwa sababu ya wingi wa mifugo wao.