Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:1 - Swahili Revised Union Version

Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ndiye Edomu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafuatao ni wazawa wa Esau (yaani Edomu).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafuatao ni wazawa wa Esau (yaani Edomu).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafuatao ni wazawa wa Esau (yaani Edomu).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ndiye Edomu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki lango la adui zao;


Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.


Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.


Ni nani huyu atokaye Edomu, Atokaye Bosra akiwa na mavazi yenye madoa mekundu? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake? Ndimi nisemaye kwa haki, Niliye hodari wa kuokoa.


Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa Edomu wametenda kinyume cha nyumba ya Yuda, kwa kujilipiza kisasi, nao wamekosa sana, na kujilipiza kisasi juu yao;


Usimchukie Mwedomi; kwa kuwa ni ndugu yako; usimchukie Mmisri, kwa kuwa ulikuwa mgeni katika nchi yake.


Basi Sauli alipokwisha kuutwaa ufalme juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote pande zote, juu ya Moabu, na juu ya wana wa Amoni, na juu ya Edomu, na juu ya wafalme wa Soba, na juu ya Wafilisti; na popote alipogeukia, akawashinda.