Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:21 - Swahili Revised Union Version

Baadaye akazaa binti, akamwita jina lake Dina.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye akazaa mtoto wa kike, akamwita Dina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye akazaa mtoto wa kike, akamwita Dina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye akazaa mtoto wa kike, akamwita Dina.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadaye akamzaa mtoto wa kike, akamwita jina Dina.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadaye akamzaa mtoto wa kike akamwita Dina.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baadaye akazaa binti, akamwita jina lake Dina.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Mungu amenipa mahari njema, sasa mume wangu atakaa nami, kwa kuwa nimemzalia wana sita. Akamwita jina lake Zabuloni.


Mungu akamkumbuka Raheli; Mungu akamsikia, akamfungua tumbo.


Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.


Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo katika Padan-aramu, na Dina, binti yake. Wanawe wote wa kiume na kike walikuwa watu thelathini na watatu.