Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:12 - Swahili Revised Union Version

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mjakazi wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.


Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.


Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Asheri, fungu moja.


Katika wana wa Asheri, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;