Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 30:13 - Swahili Revised Union Version

13 Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo Lea akasema, “Nina furaha kiasi gani! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita jina Asheri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.


Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,


Hua wangu, mkamilifu wangu, ni mmoja tu, Mtoto wa pekee wa mamaye. Ndiye kipenzi chake aliyemzaa, Binti wakamwona wakamwita heri; Malkia na masuria nao wakamwona, Wakamsifu, wakisema,


Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo