Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 26:21 - Swahili Revised Union Version

Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania; akakiita Sitna.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 26:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, Maji haya ni yetu. Ndipo akakiita jina la kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.


Akaondoka huko akachimba kisima kingine, wala hicho hawakukigombania. Akakiita jina lake Rehobothi, akasema, Kwa kuwa sasa BWANA ametufanyia nafasi, nasi tutazidi katika nchi.


Tena, wakati wa kutawala kwake Ahasuero, mwanzo wa kutawala kwake, watu wakaandika mashitaka juu ya wenyeji wa Yuda na Yerusalemu.