Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 26:19 - Swahili Revised Union Version

Watumwa wa Isaka wakachimba katika lile bonde, wakapata kisima cha maji yanayobubujika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini watumishi wa Isaka walipochimba katika lile bonde na kupata kisima cha maji yanayobubujika,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini watumishi wa Isaka walipochimba katika lile bonde na kupata kisima cha maji yanayobubujika,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini watumishi wa Isaka walipochimba katika lile bonde na kupata kisima cha maji yanayobubujika,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watumishi wa Isaka wakachimba katika lile bonde, wakagundua huko kisima chenye maji safi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watumishi wa Isaka wakachimba katika lile bonde wakagundua huko kisima chenye maji safi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watumwa wa Isaka wakachimba katika lile bonde, wakapata kisima cha maji yanayobubujika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 26:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akarudi akavichimbua vile visima vya maji walivyovichimba siku za Abrahamu babaye; maana wale Wafilisti walikuwa wamevifukia baada ya kufa kwake Abrahamu; naye akaviita majina kufuata majina aliyoviita babaye.


Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, Maji haya ni yetu. Ndipo akakiita jina la kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.


Wewe ndiwe chemchemi ya bustani yangu, Kisima cha maji yaliyo hai, Vijito vya Lebanoni viendavyo kasi.


Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake.