Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 24:9 - Swahili Revised Union Version

Yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake, akamwapia katika neno hilo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Ibrahimu, akamwapia kuhusu shauri hili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Ibrahimu akamwapia kuhusu shauri hili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake, akamwapia katika neno hilo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 24:9
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


Abrahamu akamwambia mtumishi wake, mzee wa nyumba yake, aliyetawala vitu vyake vyote, Tafadhali uutie mkono wako chini ya paja langu,