Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 22:21 - Swahili Revised Union Version

Usi, mzaliwa wa kwanza wake, na Buzi nduguye, na Kemueli, baba wa Aramu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usi mzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemueli baba yake Aramu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usi mzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemueli baba yake Aramu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usi mzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemueli baba yake Aramu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usi, mzaliwa wa kwanza wake, na Buzi nduguye, na Kemueli, baba wa Aramu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 22:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya mambo hayo, Abrahamu akaambiwa ya kwamba, Tazama, Milka naye amemzalia Nahori ndugu yako wana;


na Kesedi, na Hazo, na Pildashi, na Yidlafu, na Bethueli.


Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


na watu wote waliochanganyika pamoja, na wafalme wote wa nchi ya Uzi, na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;


Dedani, na Tema, na Buzi, na watu wote wakatao denge;


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.