Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 21:34 - Swahili Revised Union Version

Abrahamu akaishi kama mgeni kwa Wafilisti siku nyingi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu alikaa katika nchi ya Wafilisti muda mrefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu alikaa katika nchi ya Wafilisti muda mrefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu alikaa katika nchi ya Wafilisti muda mrefu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Ibrahimu akakaa nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Ibrahimu akakaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu akaishi kama mgeni kwa Wafilisti siku nyingi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 21:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaondoka huko kwenda nchi ya kusini, akakaa kati ya Kadeshi na Shuri, naye akatembea katika Gerari.


Basi Abrahamu akawarudia vijana wake, wakaondoka, wakaenda zao pamoja mpaka Beer-sheba; Abrahamu akakaa huko Beer-sheba.


Kwani sisi tu wageni na wapitaji mbele zako, kama walivyokuwa baba zetu wote; siku zetu duniani ni kama kivuli, na hakuna tumaini la kuishi.


Ee BWANA, usikie maombi yangu, Utege sikio lako niliapo, Usiyapuuze machozi yangu. Kwa maana mimi ni mgeni wako, Msafiri kama baba zangu wote.


Hawa wote wakafa katika imani, walikuwa hawajazipokea zile ahadi, bali wakaziona tokea mbali na kuzishangilia, na kukiri kwamba walikuwa wageni, na wasafiri juu ya nchi.


Kwa imani alikaa ugenini katika ile nchi ya ahadi, kama katika nchi isiyo yake, akikaa katika hema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.


Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho.