Mwanzo 21:33 - Swahili Revised Union Version33 Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaomba kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akamwabudu Mungu, Mungu wa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaomba kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akamwabudu Mungu, Mungu wa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaomba kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akamwabudu Mungu, Mungu wa milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Ibrahimu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wa milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Ibrahimu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la bwana Mwenyezi Mungu wa Milele. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele. Tazama sura |