Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 2:12 - Swahili Revised Union Version

na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri; bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 2:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;


Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.


Haiwezi kutiwa thamani kwa dhahabu ya Ofiri, Wala kwa shohamu ya thamani nyingi, wala kwa yakuti samawi.


na vito vya shohamu, na vito vingine vya kutiwa kwa ile naivera, na kwa kile kifuko cha kifuani.


na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, shohamu na yaspi; vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake.


Na safu ya nne ilikuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi: vito hivyo vilikuwa vimetiwa katika vijalizo vya dhahabu, kila kimoja mahali pake.


Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari.


Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola.