Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 17:26 - Swahili Revised Union Version

Siku ile ile akatahiriwa Abrahamu na Ishmaeli mwanawe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu na mwanawe Ishmaeli

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu na mwanawe Ishmaeli

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu na mwanawe Ishmaeli

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku hiyo hiyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku ile ile,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ile ile akatahiriwa Abrahamu na Ishmaeli mwanawe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 17:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akaenda, kama BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.


Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.


Na watu wote wa nyumba yake, wazaliwa nyumbani, na wanunuliwa kwa fedha katika mkono wa mgeni, wakatahiriwa pamoja naye.


Nilifanya haraka wala sikukawia, Kuyatii maagizo yako.