Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:32 - Swahili Revised Union Version

Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tera aliishi miaka mia mbili na mitano (205), akafa huko Harani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.


BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonesha;


Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


Je! Miungu ya mataifa wale, ambao baba zangu waliwaangamiza, imewaokoa? Yaani, Gozani, na Harani, na Resefu, na wana wa Adini waliokuwa katika Telasari?


Kisha baada ya mambo hayo Ayubu akaishi miaka mia moja na arubaini, naye akawaona wanawe, na wana wa wanawe, hadi kizazi cha nne.


Je! Miungu ya mataifa, ambao baba zangu waliwaangamiza, wamewaokoa? Gozani, na Harani, na Resefu, na wana wa Adini waliokuwa katika Telasari?