Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:30 - Swahili Revised Union Version

Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.


Isaka akamwomba BWANA kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye BWANA akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.


BWANA akaona ya kwamba Lea hakupendwa, naye akafungua tumbo lake; bali Raheli alikuwa hazai.


Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Tena, tazama, jamaa yako Elisabeti naye amechukua mimba ya mtoto wa kiume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa;


Nao walikuwa hawana mtoto, maana Elisabeti alikuwa tasa, na wote wawili ni wazee sana.


Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.


naye alikuwa na wake wawili; jina lake mmoja akiitwa Hana, na jina lake wa pili aliitwa Penina; naye huyo Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa na watoto.


lakini Hana humpa sehemu mara mbili; maana alimpenda Hana, ingawa BWANA alikuwa amemfunga tumbo.