Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:1 - Swahili Revised Union Version

Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.


Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.


BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.


Katika siku hiyo itakuwako miji mitano katika nchi ya Misri itumiayo lugha ya Kanaani, na kumwapia BWANA wa majeshi; mji mmoja utaitwa Mji wa jua.


Maana hapo ndipo nitakapowarudishia mataifa lugha iliyo safi, wapate kuliitia jina la BWANA, wamtumikie kwa nia moja.


Basi sauti hii iliposikiwa makutano walikutanika, wakashikwa na fadhaa, kwa kuwa kila mmoja aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe.