Sefania 3:9 - Swahili Revised Union Version9 Maana hapo ndipo nitakapowarudishia mataifa lugha iliyo safi, wapate kuliitia jina la BWANA, wamtumikie kwa nia moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 “Wakati huo nitaibadili lugha ya watu, nitawawezesha kusema lugha adili ili waniite mimi Mwenyezi-Mungu, na kuniabudu kwa moyo mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 “Wakati huo nitaibadili lugha ya watu, nitawawezesha kusema lugha adili ili waniite mimi Mwenyezi-Mungu, na kuniabudu kwa moyo mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 “Wakati huo nitaibadili lugha ya watu, nitawawezesha kusema lugha adili ili waniite mimi Mwenyezi-Mungu, na kuniabudu kwa moyo mmoja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa, kwamba wote waweze kuliitia jina la Mwenyezi Mungu na kumtumikia kwa pamoja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa, kwamba wote waweze kuliitia jina la bwana na kumtumikia kwa pamoja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Maana hapo ndipo nitakapowarudishia mataifa lugha iliyo safi, wapate kuliitia jina la BWANA, wamtumikie kwa nia moja. Tazama sura |