Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:23 - Swahili Revised Union Version

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tano.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.


Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.


Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe, Leo, usiku huu, kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu.