Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:13 - Swahili Revised Union Version

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili ya kuonesha majira, siku na miaka;


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.


Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe, Leo, usiku huu, kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu.