Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 7:3 - Swahili Revised Union Version

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, Maana simanzi ya uso ni faida ya moyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko maana, huzuni ya uso ni faida ya moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko maana, huzuni ya uso ni faida ya moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko maana, huzuni ya uso ni faida ya moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huzuni ni afadhali kuliko kicheko, Maana simanzi ya uso ni faida ya moyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 7:3
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kabla sijateswa mimi nilipotea, Lakini sasa nimelitii neno lako.


Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako.


Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini?


Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.


Akasema, Ee mtu upendwaye sana, usiogope; amani na iwe kwako, uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu. Aliposema nami nikapata nguvu, nikasema, Ee Bwana wangu, na aseme Bwana wangu; kwa maana umenitia nguvu.


Heri ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba. Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka.


Ole wenu ninyi ambao mmeshiba sasa, kwa kuwa mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, kwa kuwa mtaomboleza na kulia.


Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana;