Mhubiri 2:2 - Swahili Revised Union Version2 Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini? Tazama sura |