Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 4:7 - Swahili Revised Union Version

Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena, niliona jambo moja bure kabisa duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena, niliona jambo moja bure kabisa duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena, niliona jambo moja bure kabisa duniani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 4:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo akazikomesha siku zao kama pumzi, Na miaka yao kwa hofu ya kuwastusha.


Kisha nikarudi na kuona udhalimu wote unaotendeka chini ya jua; na tazama, machozi yao waliodhulumiwa, ambao walikuwa hawana mfariji; na upande wa wale waliowadhulumu kulikuwa na uwezo, lakini wale walikuwa hawana mfariji.


Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kufukuza upepo.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.