Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 2:5 - Swahili Revised Union Version

nikajifanyia bustani na viunga, na kuipanda humo miti yenye matunda ya kila namna;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilijifanyia bustani na viunga, nikapanda miti ya matunda ya kila aina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilijifanyia bustani na viunga, nikapanda miti ya matunda ya kila aina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilijifanyia bustani na viunga, nikapanda miti ya matunda ya kila aina.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikatengeneza bustani na viwanja vya starehe; nikaotesha huko kila aina ya miti ya matunda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikatengeneza bustani na viwanja vya starehe nikaotesha huko kila aina ya miti ya matunda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nikajifanyia bustani na viunga, na kuipanda humo miti yenye matunda ya kila namna;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 2:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

nipewe na waraka kwa Asafu, mwenye kuutunza msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengenezea boriti kwa malango ya ngome ya hekalu, na kwa ukuta wa mji; na kwa nyumba ile nitakapoishi mimi. Naye mfalme akanipa, maana mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.


Bustani iliyofungwa ni dada yangu, bibi arusi, Kijito kilichofungwa, chemchemi iliyotiwa mhuri.


Machipuko yako ni bustani ya komamanga, Yenye matunda mazuri, hina na nardo,


Amka, kaskazi; nawe uje, kusi; Vumeni juu ya bustani yangu, Manukato ya bustani yatokee. Mpendwa wangu na aingie bustanini mwake, Akayale matunda yake mazuri.


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Mpendwa wangu ameshukia bustani yake, Kwenye matuta ya rihani; Ili kulisha penye bustani, Ili kuchuma nyinyoro.


Ikawa Sedekia, mfalme wa Yuda, na watu wote wa vita walipowaona, ndipo wakakimbia, wakatoka mjini usiku, kwa njia ya bustani ya mfalme, kwa lango lililokuwa kati ya zile kuta mbili; naye akatoka kwa njia ya Araba.