Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 2:6 - Swahili Revised Union Version

6 nikajifanyia mabwawa ya maji, ya kuunyweshea msitu mlimopandwa miti michanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 nikajifanyia mabwawa ya maji, ya kuunyweshea msitu mlimopandwa miti michanga.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 2:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikaendelea mpaka lango la chemchemi, na ziwa la mfalme; lakini hapakuwa na nafasi ya kupita kwa yule mnyama niliyemganda.


nipewe na waraka kwa Asafu, mwenye kuutunza msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengenezea boriti kwa malango ya ngome ya hekalu, na kwa ukuta wa mji; na kwa nyumba ile nitakapoishi mimi. Naye mfalme akanipa, maana mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.


Na lango la chemchemi akalijenga Shalumu, mwana wa Kolhoze, mkuu wa Mispa akalitengeneza lango la Chemchemi akalijenga na kulifunika, akasimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake, na huo ukuu wa birika la Shiloa karibu na bustani ya mfalme, mpaka madaraja yashukayo kutoka mji wa Daudi.


Baada yake akajenga Nehemia, mwana wa Azbuki, mkuu wa nusu ya mtaa wa Beth-suri, mpaka mahali paelekeapo makaburi ya Daudi, na mpaka birika lililofanyizwa, na mpaka nyumba ya wapiganaji.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Shingo yako ni kama huo mnara wa pembe; Macho yako kama viziwa vya Heshboni, Karibu na mlango wa Beth-rabi; Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni, Unaoelekea Dameski;


Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa joto ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo