Mhubiri 2:6 - Swahili Revised Union Version6 nikajifanyia mabwawa ya maji, ya kuunyweshea msitu mlimopandwa miti michanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Nilijichimbia mabwawa ya maji ya kumwagilia hiyo miti. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 nikajifanyia mabwawa ya maji, ya kuunyweshea msitu mlimopandwa miti michanga. Tazama sura |
Na lango la chemchemi akalijenga Shalumu, mwana wa Kolhoze, mkuu wa Mispa akalitengeneza lango la Chemchemi akalijenga na kulifunika, akasimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake, na huo ukuu wa birika la Shiloa karibu na bustani ya mfalme, mpaka madaraja yashukayo kutoka mji wa Daudi.