Mhubiri 2:4 - Swahili Revised Union Version4 Nikajifanyia mambo makuu; nikajijengea nyumba; nikajipandia mashamba ya mizabibu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Nilifanya mambo makuu: Nilijenga majumba na kujilimia mashamba ya mizabibu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Nilifanya mambo makuu: Nilijenga majumba na kujilimia mashamba ya mizabibu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Nilifanya mambo makuu: nilijenga majumba na kujilimia mashamba ya mizabibu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Nikafanya miradi mikubwa: Nikajijengea majumba na kulima mashamba ya mizabibu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Nikafanya miradi mikubwa: Nikajijengea majumba na kulima mashamba ya mizabibu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Nikajifanyia mambo makuu; nikajijengea nyumba; nikajipandia mashamba ya mizabibu; Tazama sura |