Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 2:2 - Swahili Revised Union Version

Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikasema kuhusu kicheko, “Ni wazimu”, na starehe “Mna faida gani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 2:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata wakati wa kucheka moyo huwa na huzuni; Na mwisho wa furaha ni uzito wa moyo.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.