Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:5 - Swahili Revised Union Version

Njoo ule mkate wangu, Ukanywe divai niliyoichanganya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Njoo ukale chakula, na unywe divai niliyotengeneza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Njoo ukale chakula, na unywe divai niliyotengeneza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Njoo ukale chakula, na unywe divai niliyotengeneza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njoo ule mkate wangu, Ukanywe divai niliyoichanganya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wapole watakula na kushiba, Wamtafutao BWANA watamsifu; Mioyo yenu na iishi milele.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.


Amechinja nyama zake, amechanganya divai yake, Ameiandalia meza yake pia.


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.