Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:12 - Swahili Revised Union Version

Mimi, hekima, nimefanya werevu kuwa makao yangu; Natafuta maarifa na busara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi Hekima ninao ujuzi; ninayo maarifa na busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi Hekima ninao ujuzi; ninayo maarifa na busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi Hekima ninao ujuzi; ninayo maarifa na busara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara; ninamiliki maarifa na busara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara; ninamiliki maarifa na busara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi, hekima, nimefanya werevu kuwa makao yangu; Natafuta maarifa na busara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikuwa mwana wa mwanamke mjane wa kabila la Naftali, na babaye alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba; naye alikuwa mwingi wa hekima na akili, stadi wa kufanya kazi zote za shaba. Akamfikia mfalme Sulemani, akamfanyia kazi yake yote.


na mfano wa yote aliyokuwa nao rohoni, kuhusu nyua za nyumba ya BWANA, na ya vyumba vyote vilivyoizunguka, ya hazina za nyumba ya Mungu, na ya hazina za vitu vilivyowekwa wakfu;


Hayo yote, akasema Daudi, yamenielea kwa maandiko kutoka kwa mkono wa BWANA, naam, kazi zote za mfano huu.


Na Yuda walipotazama nyuma, angalia, vita vikawa mbele na nyuma; wakamlilia BWANA, na makuhani wakapiga parapanda.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli, Angalieni, BWANA amemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda;


Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Kwa maana Mungu wake anamwagiza vizuri na kumfundisha.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


Naye alituzidishia hiyo katika hekima yote na ujuzi;


ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho;


ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.