Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:15 - Swahili Revised Union Version

Unywe maji ya tangi lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkeo ni kama kisima cha maji safi: Kunywa maji ya kisima chako mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkeo ni kama kisima cha maji safi: Kunywa maji ya kisima chako mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkeo ni kama kisima cha maji safi: Kunywa maji ya kisima chako mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kunywa maji kwenye kisima chako mwenyewe, maji yanayotiririka kutoka kisima chako mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe, maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Unywe maji ya tangi lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa karibu na kuingia katika maovu yote, Katikati ya mkutano na kusanyiko.


Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu?


Bustani iliyofungwa ni dada yangu, bibi arusi, Kijito kilichofungwa, chemchemi iliyotiwa mhuri.


Msimsikilize Hezekia; maana mfalme wa Ashuru asema hivi, Fanyeni suluhu na mimi, mkatoke mnijie, mkale kila mtu matunda ya mzabibu wake na matunda ya mtini wake, mkanywe kila mmoja maji ya kisima chake mwenyewe;


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.