Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:11 - Swahili Revised Union Version

Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwishoni mwa maisha yako utaomboleza wakati mwili wako utakapoangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwishoni mwa maisha yako utaomboleza wakati mwili wako utakapoangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwishoni mwa maisha yako utaomboleza wakati mwili wako utakapoangamizwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu, wakati nyama na mwili wako vimechakaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu, wakati nyama na mwili wako vimechakaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.


Wageni wasije wakashiba nguvu zako; Kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni;


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Kisha hapo atakapokwisha kumnywesha maji, ndipo itakapokuwa, kama amekuwa hali ya unajisi na kumkosea mumewe, hayo maji yaletayo laana yatamwingia ndani yake, nayo yatakuwa uchungu, na tumbo lake litavimba, na paja lake litapooza; na huyo mwanamke atakuwa laana kati ya watu wake.


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.


Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.