Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:6 - Swahili Revised Union Version

Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiongeze neno katika maneno yake, asije akakukemea, nawe ukaonekana mwongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiongeze neno katika maneno yake, asije akakukemea, nawe ukaonekana mwongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiongeze neno katika maneno yake, asije akakukemea, nawe ukaonekana mwongo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiongeze kwenye maneno yake, ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa mwongo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiongeze kwenye maneno yake, ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa mwongo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa.


Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,


Msiliongeze neno ninalowaamuru wala msilipunguze, mpate kuzishika amri za BWANA, Mungu wenu, ninazowaamuru.